ANGALIA PICHA UFUNGUZI RASMI WA MAONESHO YA VIWANDA VIDOGO KANDA YA ZIWA YANAYOFANYIKA MJINI SHINYANGA
![]() |
Meneja wwa SIDO mkoa wa Shinyanga Athanas Moshi akitoa maelezo kwa mheni rasmi kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa na SIDO |
![]() |
Kundi la ngoma ya jadi ya Wanunguli wakitoa burudani katika viwanja vya Shycom mjini Shinyanga |
![]() |
Wanunguli wakitoa burudani |
![]() |
Meneja wa SIDO mkoa wa Shinyanga Athanas Moshi akizungumza wakati wa Ufunguzi wa maonesho hayo |
![]() |
Mstahiki meya wa manispaa ya Shinyanga Gulam Hafeez Mukadam akizungumza wakati wa ufunguzi wa maonesho hayo |
![]() |
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Erasto Mbwilo akizungumza wakati wa ufunguzi wa maonesho hayo |
0 maoni:
Post a Comment